fichuzi

  • Mkenya daima

    Posted: May 10, 2009, 10:46 pm by ombui
    Wakati umefika pale ambapo wakenya wanafaa kuelewa kila kitu kuhusu uendeshaji serikali na haki zao. Wakenya wafaa kuhusishwa moja kwa moja kwa sababu sio wanasiasa ndio wanaofaa kuwaamulia.

    Hebu tafakari, wanasiasa walisema wamatuwakilisha; Je, wanapopata rushwa, wanatuwakilisha? Wanapolala bungeni je?

    Si dhani kuna nia ya kuchagua yeyote asiyeshughulikia matakwa ya raia.

    Mkenya daima."Fikra nyingine"

Blah blah blah

Fish cakes

Alas a fish cake.

Yet more fish cakes

Guess what ... yeah ... fish cakes.

The end of the fish cakes


Kenyan Blogs