fichuzi

  • Siku ya wafanyikazi

    Posted: April 27, 2009, 4:57 pm by ombui

    Siku ya wafanyikazi ulimwenguni imewadia. Tarehe mosi mwezi wa tano viongozi watapiga kelele kama ilivyokuwa jadi.

    Wafanyikazi bado wanabaguliwa kwa kupewa marupurupu tofauti, au kuwa na mishahara midogo huku wengine wakinyanyaswa hata kijinsia. Mazingira ya kazi bado ni duni.

    Je, viongozi, au serikali wametimiza walioahidi mwaka jana?

    * Picha imepigwa na Natall news
    "Fikra nyingine"

Blah blah blah

Fish cakes

Alas a fish cake.

Yet more fish cakes

Guess what ... yeah ... fish cakes.

The end of the fish cakes


Kenyan Blogs