fichuzi
-
Siku ya wafanyikazi
Posted: April 27, 2009, 4:57 pm by ombui
Siku ya wafanyikazi ulimwenguni imewadia. Tarehe mosi mwezi wa tano viongozi watapiga kelele kama ilivyokuwa jadi.
Wafanyikazi bado wanabaguliwa kwa kupewa marupurupu tofauti, au kuwa na mishahara midogo huku wengine wakinyanyaswa hata kijinsia. Mazingira ya kazi bado ni duni.
Je, viongozi, au serikali wametimiza walioahidi mwaka jana?
* Picha imepigwa na Natall news
"Fikra nyingine"
Blah blah blah
Fish cakes
Alas a fish cake.
Yet more fish cakes
Guess what ... yeah ... fish cakes.
The end of the fish cakes