SIMON KITURURU- MAWAZONI
-
Na kwa kuwa LEO yaaminika ni JUMATATU kwa wengi!
Posted: October 24, 2011, 4:39 am by SIMON KITURURU
Kumbuka tu kuwa,....... KALENDA ifanyayo jana ni JUMAPILI na juzi ilikuwa ni JUMAMOSI,......... ni kitu kilichotungwa tu na WATU kama WEWE,......... kitu kifanyacho labda bado kama tu enzi za mababu zilizokuwa hazifuati KALENDA hizi,......JUMATATU HII kwako ni JUMATANO ya mwaka jana kwa mwingine.
Swali la kizushi:- Unakumbuka KIISLAMU leo ni MWAKA gani?
Ni angalizo tu hili MHESHIMIWA na usikonde!:-(
Hebu BILAL aanzishe upya kwa-FREE
Nottz aingilie kati kwa - Shine So Brite
Shafiq arudi na Bilal katika pini- Cheeba
Nottz na Bilal warudi tena kwa- Right Here
Au tu tena Amerie azime kwa - 1 Thing
Blah blah blah
Fish cakes
Alas a fish cake.
Yet more fish cakes
Guess what ... yeah ... fish cakes.
The end of the fish cakes