SIMON KITURURU- MAWAZONI

  • Na kwa kuwa LEO yaaminika ni JUMATATU kwa wengi!

    Posted: October 24, 2011, 4:39 am by SIMON KITURURU
    Kumbuka tu kuwa,....... KALENDA ifanyayo jana ni JUMAPILI na juzi ilikuwa ni JUMAMOSI,......... ni kitu kilichotungwa tu na WATU kama WEWE,......... kitu kifanyacho labda bado kama tu enzi za mababu zilizokuwa hazifuati KALENDA hizi,......JUMATATU HII kwako ni JUMATANO ya mwaka jana kwa mwingine.

    Swali la kizushi:
    • Unakumbuka KIISLAMU leo ni MWAKA gani?

    Ni angalizo tu hili MHESHIMIWA na usikonde!:-(

    Hebu BILAL aanzishe upya kwa-FREE


    Nottz aingilie kati kwa - Shine So Brite


    Shafiq arudi na Bilal katika pini- Cheeba

    Nottz na Bilal warudi tena kwa- Right Here


    Au tu tena Amerie azime kwa - 1 Thing


Blah blah blah

Fish cakes

Alas a fish cake.

Yet more fish cakes

Guess what ... yeah ... fish cakes.

The end of the fish cakes


Kenyan Blogs