SIMON KITURURU- MAWAZONI

  • JAMBO LISILOKUHUSU likikutia NYEGE!:-(

    Posted: August 29, 2010, 7:25 pm by SIMON KITURURU

    Ndio ,.........mara nyingi kimtiacho nyege mtu ni ambacho sio chake,...


    .......na INGAWA hata kama KINUNIA SHUGHULI  kina upele wenye usaha,...



    ....LABDA mwenye nyege KINUNACHO na KIKENUACHO  kikitekenywa  HATA KABLA YA SHUGHULI bado katika kupandisha JAZBA ya  hamu ya utamu  ya MHESHIMIWA KINUKA MKOJO ,....

    ....hicho KIDUDE  hata kama hakita kata makali  baada ya kuonja AU KUONJWA labda bado MHESHIMIWA mwenye nyege kama kina mgusa ANGALAU  MAWAZONI ,....
    ....labda hicho  KINAMHUSU.:-(




    Swali:
    • Unafikiri UNAUHAKIKA  kuna jambo lisilo KUHUSU ?

    NI WAZO TU HILI Mheshimiwa BI Mkora!:-(
    Hebu katika kubadili ndude tumsikilize mtoto wa NYERERE ambaye kwa jina ni ROSE -MARY NYERERE akijitetea kisomi....... na SAMAHANI kiswahili chake kinahitaji Kingereza katika baadhi ya pointi:-(




    Au tu Kanda Bongo Man achokonoe kidude kwa -Cantique



    Au tu Kanda Bongo Man arudishe mdinyo ajulikanao nao afrika kwa ndude-Wallow



    Au tu Kanda Bongo Man aendelee kushusha uji mzito katika.......

  • KINUKACHO, na kisababishacho HARUFU mbaya ya sehemu za siri za MHESHIMIWA labda havina uhusiano wa moja KWA moja.:-(

    Posted: August 29, 2010, 11:49 am by SIMON KITURURU
    Swali:
    • Unadhani CHAKULA na MDOMO vina uhusiano wa MOJA KWA MOJA?


     Turudi katika taralila:




    Wakati  umestukia MHESHIMIWA ananuka UCHI,...... labda ni kweli sio kosa lake ,....

    .... kwa kuwa ni kweli PIA kuwa UHESHIMIWA na MHESHIMIWA mwenye uchi labda hawana uhusiano wa moja kwa moja KAMA ufikiriavyo,...... na labda UCHI wake  MHESHIMIWA hauhitaji kuheshimiwa kama ufikiriavyo,....

    ....na  labda UHESHIMIWA wa mheshimiwa  MUUZA SURA  ukimnusa sehemu zake  za siri kabla HAJA JI SWAFI  uhakikicho katika ufanyakazi bora wenye hari MPYA labda sio  wa MHESHIMIWA kujiswafi bali ni jinsi tu  vitu vingine kama vile BAKTERIA zisaidiazo hata MHESHIMIWA KUJAMBA  zifanyavyo tu  kazi zao SWAFI.:-(

    SWALI:
    •  Si unajua KINUKACHO labda hakina uhusiano wa moja kwamoja na kisababishacho  UCHI  unanuka?

    Ndio,.......katika KUNUKA kuna bomba la DEMOKRASIA;......labda ndio maana  yoyote yule mazingira yakilipa atanuka KIKWAPA vizuri tu.:-(



    SAMAHANI kwa wazo lililopinda  na ni ruksa kunitukana SHENZI kama  sentensi  ZANGU katika hoja hii zina tako kubwa.:(
    Hebu NINA SIMONE abadili swala kwa kuachia ndude -I want a little sugar in my bowl





    Nina adunge -FOUR Women




    Nina Simone akojoe kisanii- MOOD Indigo




    Nina Simone aachie- My baby just cares for me



    Nina Simone amalizie kwa ndude-Feeling good



    Au tu anyuke hii kitu bomba iitwayo -FEELINGS


    Basi bwana labda tu naye  Eric Clapton azime jazba TU  kwa kitu-LAYLA


Blah blah blah

Fish cakes

Alas a fish cake.

Yet more fish cakes

Guess what ... yeah ... fish cakes.

The end of the fish cakes


Kenyan Blogs