SIMON KITURURU- MAWAZONI
-
Asante SHAHAWA,...
Posted: March 12, 2010, 6:00 am by SIMON KITURURU
...kwa kusababisha hata MAMBA MKALI kutaga MAYAI mbayo hayatakuwa VIZA kwa kukosa VIRUTUBISHO!:-(
Ndio,...
...kuna wasahauo KUMSHUKURU JOGOO na kushukuru TU kimiminika cha jogoo kimuingiacho KUKU kwa kuwa kimerutubisha MAYAI YA KUKU ili mayai YAPATE ujauzito yazae VIFARANGA kwa kuwa kimiminika cha JOGOO kilisaidia , ingawa JOGOO MWENYEWE ndiye aliye shikilia kiuno ambacho katika SHUGHULI ndio siri ya mafanikio ya mayai ya kuku kupata VIRUTUBISHO.:-(
Swali:- Si unajua kishukuriwacho MIMBA YA BATA IKIPATIKANA labda kimsaada wala sio kilichokuwa muhimu ZAIDI katika swala la BATA kupata mimba?
NDIO,......kwa bahati mbaya kuna WASHUKURUO kimiminika cha JOGOO na kumsahau KUKU na punje zake za kizazi ,...
... na katika hilo KUSAHAU bila KUKU hakuna kitakachototoleka kwa kuwa bila KUKU mwenye sehemu za ZA SIRI za kuingizwa kimiminika cha JOGOO MWENYE NYEGE ,... kile cha kuku chenye mchepuo wenye NANIIHII hakitajazwa mimba ambayo ili ijazwe ujanja,... UJANJA unahitaji KUKU NA MARINGO YAKE ili mayai yapate KIRUTUBISHO.:-(
Swali:- Unauhakika unapatia kulenga kihitajiwacho na ahitajiwaye KUSHUKURIWA?
- ASANTE zako unauhakika HUWA unashukuru kukatiwa kiuno au kisababishacho UWEZO wa kukata kiuno UWEPO uletao maana katika faraja zako?
- Ni mara ngapi kama wewe unaamini MUNGU umemshukuru MAJALIWA kwa kukuwezesha kupata nyege?
- SI unakumbuka labda sio MKULIMA aliyesababisha kulikuwa na chakula ulichokula leo?
NAKATIZA WAZO!:-(
ASANTE kwa yote WEYE na WOTE lakini,....... kwa kuwa labda naandika huu UjingaBUSARA kwakuwa LABDA NAHISI KUNA mtu anasoma!:-(
NIMEACHA na samahani kwa kupindisha WAZO na kwa matumizi ya LUGHA ambayo kwa MHESHIMIWA asiye ita BELESHI -beleshi ni NYOKO!:-(
IJUMAA na WIKIENDI NJEMA Mheshimiwa !
Au NGOJEA tubadili na twende kusikiliza ya MUNGU kikiristo kwa kupata wimbo mwanana kutoka kwa ROSE MUHANDO akitonya ndude-Mungu Wangu nitakushukuru
Au Zain Bhikha atonye kwa mkao wa KIISLAMU katika -A is for Allah
Na MAKASSY arudishe KITU NYUTRO nilivyo katika ndude -MAMBO BADO
-
KAMA unakumbuka BUSARA YA ulichofundishwa SHULE YA VIDUDU!:-(
Posted: March 12, 2010, 5:59 am by SIMON KITURURU
Labda ,......SHULE ya kuishi na WATU KATIKA MAISHA ulishaIMALIZA kwa ULIYOJIFUNZA shule ya VIDUDU a.k.a CHEKECHEA.:-(
Swali:- Unakumbuka CHEKECHEA wanafundishwa nini hata kama wewe hukuenda hizo shule ziitwazo za VIDUDU?
TWAWEZA KUJIKUMBUSHA lakini kuwa busara za chekechea hazina maringo katika KUTEKENYA UMUHIMU kwa kuwa ukiwa chekechea UTAFUNZWA yaleyale ya muhimu sana MAISHANI kama:- KABLA ya kula OSHA mikono
- UKIMALIZA kula osha MIKONO
- KABLA ya kuvuka barabara angalia pande zote uhakikishe hakuna gari
- KABLA ya kunya vua chupi na usinye pembeni ya choo
- UKIMALIZA kunya chamba na osha mikono
- USIMFINYE mwenzio
- KUJAMBA mbele za wenzio ni tabia MBAYA
- USIMUIBIE penseli, peremende AU KARANGA mwenzio
- KAMA unaumwa sema
- Waheshimu BABA na MAMA
- Na kama.....NA kadhalika kadhaa za nk...
SWALI- Umeanza kukumbuka MAFUNDISHO hayo?
- Unafikiri ukifuata hayo tu uwezi kula BINGO maishani hasa ukikumbuka digirii zako huruka somo la USIMFINYE MWENZIO?
NAACHA!
Lakini ni wazo tu hili MHESHIMIWA!:-(
Lakini LABDA endelea nami KUSIKILIZA HAWA ambao wasemacho kama umefundwa weye utaendelea tu kuwa MHESHIMIWA hata wakati uwasikilizao ni DAS EFX kama tu enzi zile za ndude -ALRIGHT
AU Fu-Schnickens waendelee tu na wajanja wajuao hizi ndude wakiri kama wanajua nani ni - True Fuschnick
AU tu MAD LION abadili kidogo lakini AACHIE mchezo uleule katika -REAL TING
Blah blah blah
Fish cakes
Alas a fish cake.
Yet more fish cakes
Guess what ... yeah ... fish cakes.
The end of the fish cakes