SIMON KITURURU- MAWAZONI

  • Asante SHAHAWA,...

    Posted: March 12, 2010, 6:00 am by SIMON KITURURU
    ...kwa kusababisha hata MAMBA MKALI kutaga MAYAI  mbayo hayatakuwa  VIZA kwa kukosa VIRUTUBISHO!:-(

    Ndio,...
    ...kuna wasahauo KUMSHUKURU  JOGOO na kushukuru TU kimiminika cha jogoo kimuingiacho KUKU kwa kuwa kimerutubisha MAYAI YA KUKU  ili mayai YAPATE ujauzito yazae VIFARANGA  kwa kuwa kimiminika cha JOGOO kilisaidia , ingawa JOGOO MWENYEWE ndiye aliye shikilia  kiuno ambacho katika SHUGHULI ndio siri ya mafanikio ya mayai ya kuku kupata  VIRUTUBISHO.:-(

    Swali:
    • Si unajua kishukuriwacho MIMBA YA BATA IKIPATIKANA  labda kimsaada wala sio kilichokuwa muhimu ZAIDI katika swala la BATA kupata mimba?


    NDIO,......kwa bahati mbaya kuna WASHUKURUO kimiminika cha JOGOO na kumsahau KUKU na  punje zake   za kizazi ,...
    ... na katika hilo  KUSAHAU bila KUKU hakuna kitakachototoleka kwa kuwa bila KUKU mwenye  sehemu  za ZA SIRI za kuingizwa kimiminika cha JOGOO MWENYE NYEGE  ,... kile cha kuku chenye mchepuo wenye NANIIHII hakitajazwa mimba ambayo ili ijazwe ujanja,... UJANJA  unahitaji KUKU NA MARINGO YAKE ili  mayai yapate KIRUTUBISHO.:-(




    Swali:
    • Unauhakika unapatia kulenga kihitajiwacho na ahitajiwaye  KUSHUKURIWA?
    • ASANTE zako unauhakika  HUWA unashukuru kukatiwa kiuno au kisababishacho UWEZO wa  kukata kiuno UWEPO  uletao maana katika faraja zako?

    • Ni mara ngapi kama wewe unaamini MUNGU umemshukuru MAJALIWA kwa kukuwezesha kupata nyege?
    • SI unakumbuka labda sio  MKULIMA aliyesababisha kulikuwa na chakula ulichokula leo?

    NAKATIZA WAZO!:-(
    ASANTE kwa yote  WEYE na WOTE lakini,....... kwa kuwa labda naandika huu UjingaBUSARA  kwakuwa LABDA NAHISI KUNA mtu anasoma!:-(

    NIMEACHA na samahani kwa kupindisha WAZO na kwa matumizi ya LUGHA ambayo  kwa MHESHIMIWA asiye ita BELESHI -beleshi ni NYOKO!:-(
    IJUMAA na WIKIENDI NJEMA Mheshimiwa !


    Au NGOJEA tubadili na twende kusikiliza ya  MUNGU kikiristo  kwa kupata wimbo mwanana kutoka kwa  ROSE MUHANDO akitonya ndude-Mungu Wangu nitakushukuru




    Au Zain Bhikha atonye kwa mkao wa KIISLAMU katika -A is for Allah



    Na   MAKASSY arudishe KITU NYUTRO  nilivyo katika  ndude -MAMBO BADO
  • KAMA unakumbuka BUSARA YA ulichofundishwa SHULE YA VIDUDU!:-(

    Posted: March 12, 2010, 5:59 am by SIMON KITURURU


    Labda ,......SHULE ya kuishi na WATU KATIKA MAISHA ulishaIMALIZA kwa ULIYOJIFUNZA shule  ya VIDUDU a.k.a CHEKECHEA.:-(


    Swali:

    • Unakumbuka CHEKECHEA wanafundishwa nini hata kama wewe hukuenda hizo shule ziitwazo za VIDUDU?

    TWAWEZA KUJIKUMBUSHA lakini kuwa busara za chekechea  hazina maringo katika KUTEKENYA UMUHIMU kwa kuwa  ukiwa chekechea UTAFUNZWA yaleyale ya muhimu  sana MAISHANI kama:
    • KABLA ya kula OSHA mikono
    • UKIMALIZA kula osha MIKONO
    • KABLA ya kuvuka barabara angalia pande zote uhakikishe hakuna gari


    • KABLA ya kunya vua chupi na usinye pembeni ya choo
    • UKIMALIZA kunya chamba na osha mikono


    • USIMFINYE mwenzio

    • KUJAMBA mbele za wenzio ni tabia MBAYA

    • USIMUIBIE penseli, peremende AU KARANGA mwenzio


    • KAMA unaumwa sema
    • Waheshimu BABA na MAMA

    • Na kama.....NA kadhalika kadhaa za nk...



    SWALI

    • Umeanza kukumbuka MAFUNDISHO hayo?
    • Unafikiri ukifuata hayo tu uwezi kula BINGO maishani hasa ukikumbuka digirii zako huruka somo la USIMFINYE MWENZIO?



    NAACHA!
    Lakini ni wazo tu hili MHESHIMIWA!:-(




    Lakini LABDA endelea nami KUSIKILIZA HAWA ambao wasemacho  kama umefundwa  weye  utaendelea tu kuwa MHESHIMIWA hata wakati uwasikilizao ni  DAS EFX kama tu enzi zile za ndude -ALRIGHT


    AU Fu-Schnickens waendelee tu na wajanja wajuao hizi ndude wakiri kama wanajua nani ni - True Fuschnick



    AU tu MAD LION abadili kidogo lakini AACHIE mchezo uleule katika  -REAL TING

Blah blah blah

Fish cakes

Alas a fish cake.

Yet more fish cakes

Guess what ... yeah ... fish cakes.

The end of the fish cakes


Kenyan Blogs