SIMON KITURURU- MAWAZONI
-
KWA NINI ni MOYO na sio MATAKO au KINYEO kitumikacho KAMA alama ya UPENDO kwa wahusudu KUPENDA , au kwa leo hii kitu VALENTINE?:-(
Posted: February 14, 2010, 11:30 am by SIMON KITURURU
Kuna historia nyuma ya ALAMA ya WAPENDANAO ,...
...kuwa MOYO na sio UBONGO , matako,chuchu yenye makunyanzi au tu bonge la NYONYO.:-(
Na histori ingekaa mkao tofauti haki ya nani kwa wapenda matako MAKALIO yangekuwa ndio alama ya PENDO kwa wapendanao.
Na haki ya nani ni MAZOEA yafanyayo alama ya moyo ionekane nzuri kwa kuwa ukweli wenyewe MOYO wala hauna sura nzuri kwa kuwa mpenda NYONYO, `` haki ya Mama Kisebengo tena! ´´ anajua CHUCHU nzuri kwa sura CHUCHU ILIYONONA NI NZURI hata kuliko ulivyo MOYO.
Hebu lideku sura baya la MOYO...
Ok hapa kama wewe unahusudu hesabu .Implicit heart curve(x2+y2-1)3-x2y3=0
Hufikirii tako lingefaa tu kama hili hapa chini kuwa alama ya VALENTINE?
Image courtesy of rooshv.com
Titi je?
Ndio ,...
...HISTORI ya vitu husababisha MUOANO wa VITU ambavyo labda hata havina uhusiano NA PIPI KIJITI AU LAWALAWA NYAMA ,...
.....na NDIO maana KINYEO ni tusi ukikisema kwa mkao fulani wa kawaida KANISANI au MSIKITINI wa utamkavyo NANIHINO wakati NANIHIU ya mshale LABDA maana yake ni kifaa cha uke na sio CHA KINYEO kwa asiye basha.:-(.
NI HILO TU na NI WAZO TU, na kifikiria sana nilichosema na kukwazika SHAURI ZAKO.:-(NIMEACHA!:-(
Hebu tubadili banangenge kwa ELIS REGINA alete miziki inikunayo sana tu hasa Jumapili Asubuhi katika- Águas de Março
Au tu ELIS REGINA anitamanishe kulalamikiwa na kimwana wa kibrazili kwa kunikumbusha nahusudu vimwana wakibrazili walalaikavyo katika-20 Anos Blues
Au ngojea huyu huyu marehemu ELIS REGINA alete tu na-Madalena
-
Kwanini ni MOYO na sio MATAKO yatumikayo kama alama ya UPENDO kwa wahusudu Valentine?
Posted: February 14, 2010, 11:13 am by SIMON KITURURU
MMMMMMmmmmmmh!
Labda ,....
....KUNA historia POTOFU nyuma ya ALAMA ya WAPENDANAO ,...
...kuwa NI MOYO na sio UBONGO , matako, chuchu yenye MAKUNYAZI au tu bonge la PAJA au NYONYOingawa kuna pendo lamtu linasisimuliwa na MATEGE ya MTU.:-(
Na LABDA historia ingekaa mkao tofauti, ``HAKI YA NANI TENA´´! kama nani NI NANIHII HUYO AMBAYE kwa wapenda matako,...
.....kwa husudisho KWAKE MAKALIO yangekuwa ndio alama ya PENDO kwa wapendanao kwa kuwa katika tako ndio kuna tundu la asili NA SIRI ya PENDO LAKE lijazialo ajuavyo KUPENDA .:-(
Na haki ya nani ni MAZOEA yafanyayo alama ya MOYO ionekane NI nzuri kwa kuwa ukweli wenyewe MOYO wala hauna sura nzuri kwa kuwa mpenda NYONYO, `` haki ya Mama Kisebengo tena! ´´ anajua CHUCHU nzuri , kwa sura CHUCHU ILIYONONA NI NZURI hata kuliko ulivyo....- MOYO na mishipa yake.
:-(
Hebu lideku sura baya la MOYO...
Ok hapa kama wewe unahusudu hesabu .Implicit heart curve(x2+y2-1)3-x2y3=0
Hufikirii tako lingefaa tu kama hili hapa chini kuwa alama ya VALENTINE?
Image courtesy of rooshv.com
Titi je?
Ndio ,...
...HISTORI ya vitu husababisha MUOANO wa VITU ambavyo labda hata havina uhusiano NA PIPI KIJITI au LAWALAWA NYAMA ,...
.....na NDIO maana KINYEO ni tusi ukikisema AU KUKIONYESHA kwa mkao fulani AMBAO NI wa kawaida KANISANI au MSIKITINI wa utamkavyo NANIHINO wakati NANIHIU ya mshale KWENYE KABRASHA LA alama ya MSHALE LABDA maana yake ni UPENDO katika VALENTINE na pendo SIO kifaa cha uke na sio KILE kifaa CHA KINYEO kwa wapendanao waaminio ALAMA FULANI INAMAANISHA UNAPENDWA na UNAPENDA hata kama sio kibasha au KIJALUO kwa kuwa ni alama ya MOYO na moyo ushaaminishwa ni zaidi ya UBONGO.:-(.
Swali:- LAKINI si unajua KUWA pendo lako halina alama?
- Unafikiri MOYO wako KWAKUWA UNADUNDA ni muhimu sana hata KINYEO chako kikiziba wakati MOYOwako UNADUNDA?
- Unafikiri moyo wako unajua leo ni JUMAPILI na ulikunya kama mwili wako ulijaza choo?
NI HILO TU na NI WAZO TU, na ukifikiria sana nilichosema na kukwazika SHAURI ZAKO.:-(....miye NIMEACHA!:-(
Kwa LEO ,...........Hepi......->
....DAY..... Mkuu!
Hebu tubadili banangenge kwa ELIS REGINA alete miziki inikunayo sana tu hasa Jumapili Asubuhi katika- Águas de Março
Au tu ELIS REGINA anitamanishe kulalamikiwa na kimwana wa kibrazili kwa kunikumbusha nahusudu vimwana wakibrazili walalaikavyo katika-20 Anos Blues
Au ngojea huyu huyu marehemu ELIS REGINA alete tu na-Madalena
Nipo na sijasahau PAPA MANENTO, Papa Irioko , Dada Neema a.k.a NEY, DADA NTE, Kaka DAVIE , Kaka KHERI, KIKI muzee wa MWANZA,.....,....,........ nipo bado na sijatenga swala la KImtengo au ...:-(
NIpo.....
Blah blah blah
Fish cakes
Alas a fish cake.
Yet more fish cakes
Guess what ... yeah ... fish cakes.
The end of the fish cakes