SIMON KITURURU- MAWAZONI
-
OYAAA mliosoma MAZENGO Dodoma!
Posted: February 10, 2010, 8:19 am by SIMON KITURURU
Oyaa,.....Naomba niwajulishe rasmi kuwa mail group ya wanaMAZENGO wa zamani imefunguliwa.
So far kuna members 19 mpaka sasa!
Gilbdert DedanMike MungureAdelino LifaAsupya NFredddy LiundiVitus MpandaAdoplh KasegenyaZephaniaSimon KitururuJesse KokaSamuel KeenjaSalum SeifMohdyFortune MkonyAmani MashayoAlex NgwanduKweba BulemoMwombeki BareguEbenezer Kimaro.
Haya wazee...ukitaka kutuma email kwenye group wewe andika :
Mazengo@googlegroups.com
Then inabidi kuanza kufanya mkakati wa re-union kubwa hapo mjini.
So many nice ideas are coming up.....so lets
get this rolling !
Kidumu,-Kweba
Kongoli HAPA ,........kuideku Mazengo ambayo siku hizi ni St John's University of Tanzania.----------------______________________________________------------------------------
Au badili tu nami kwa kuendelea na I Jahman Levi kama enzi hizo nikiwa MAZENGO katika-Ancient Lover
Au tu arudie na -JAH Heavy Load
-
TUKO PAMOJA - ila labda KIMAWAZO mwenzio niko CHOONI!:-(
Posted: February 10, 2010, 7:42 am by SIMON KITURURU
Kamsemo ; ``TUKO PAMOJA !´´ ......... ni KATAMU kwa kuwa kanawezakumficha asiye PAMOJA NAWE ULIYENAYE kwa kukufanya UDHANIE alivyo pamoja na POCHI LAKO yuko nawe.:-(
TUKO PAMOJA!,...
.....LABDA kama MTETO au MSEMO yasaidia KUJAZA tu jazba ya kuamini kaudhaifu kako KAKUTAKA KUAMINI uliyenaye ana HAIBA za kufanya ni kweli YUKO NAWE.:-(
Swali:- Hivi wakati unatamka kale kamsemo `` TUKO PAMOJA´´ si kuna uwezekano kuna siku huwa unatudanganya?
- Au?
Swali:- Unauhakika sasa hivi kuwa uko hapo ulipo eti mwenyewe udaiko umeketi kitako na hauko Mtandaoni?
NI HILO TU na ni wazo tu hili MKUU!TUKO PAMOJA na ubarikiwe sana tu Mheshimiwa !
Hebu SOUKOUS STARS wabadili kwa kitu -SOFIA
Au tu I Jahman Levi atulize manyanga kwa kukumbusha kitu katika -Master of my Mind
Autu I Jahman adake kihitajicho ngangari akidakacho katika hii nyundo aiitayo- I want to be free
-
Misingi na siri ya UJANJA WA MTU ni dhaifu ndio maana DUNIANI kuna MJANJA mpaka kwa kutovaa chupi PIA!:-(
Posted: February 10, 2010, 7:42 am by SIMON KITURURU
[Tahadhari: Wazo hili linamwendo wa kusuasua kimtiririko!:-(]
Kitu kidogo tofauti chaweza tafsiri kwa watu MTU ni MJANJA ,...
.... na kwa wacheza SINDIMBA uchi chaweza kuwa ni kitu kidogo kama TU ni nani ULINGO kauvalia chupi!
Na kwa wengi siri ya wamstukiavyo MJANJA,........ ni utofauti wake tu na wengine katika MIKAKATI hata kama mikakati yake yenyewe ifanikishacho ni kwenye mitumba ya suruali kudaka zilizojichanganya HUMO zilizotumika chupi.:-(
Misingi ya tafsiri ya UJANJA umtofautishao katika kundi aliye MJANJA,...
... yaweza kuwa ni UJINGA wa TAFSIRI ya ni nini UJANJA ndio maana utekelezaji wa JAMBO LILELILE LA KIJINGA hata kama laumiza HATA BILA KUJUA WENGINE kwa kukwepa miundo mbinu ambayo watu wanaitumia kutekeleza jambo LILELILE ,.......kuna watakao APIA ni UJANJA hata kama shughuli yenyewe ni kudaka mteja kwa kumkalia uchi na MODO MJANJA shughuli hiyo kaivulia chupi.:-(
Swali:- Si unajua siri ya misingi ya kimfanyacho MJANJA aonekane ni MJANJA KWAKO labda ni kasumba zako tu?
NA kama BINADAMU angekuwa kwa kawaida anaishi MILELE,....
.... HAKI YA NANI TENA,...
....labda WAJANJA wangekuwa ni wale waishio maisha mafupi KWA KUJIUA na moja ya mjanja AMBAYE angesifiwa sana ni yule KATIKA STAILI YA KUFA alijinyonga:-(
Samahani kidogo:- Lakini si kuna wajanja tuliowapa USHUJAA kwa KUWA walijiua VITANI ili wasidakwe na adui na kudhalilishwa ?
- Lakini kwa tafsiri fulani si MAISHA ni vita?
....kwa hiyo LABDA ni UJANJA kukwepa kudhalilika,......... ingawa LABDA bado kama wote WATAKUWA WANAKWEPA kudhalilika ,....
.....MJANJA MPYA ,......
....atapatikana KATIKA WADHALILIKAO ambaye angalau kabla hajafa anaweza akawa anajulikana KATIKA WALIOFARIKI na KUFA angalau YEYE ndiye wa kwanza kujua na kuwa na UZOEFU wa SWALA ZIMA la ni nini KUDHALILIKA kabla ya kukwepa kibano na KUFA..:-(
NDIO ujanja MPYA waweza kuwa sio KUDHALILISHA wadhalilika,....
..... kwa kuwa kama kila MTU anadhalilisha basi labda imeshafikia kuwa KUDHALILISHA SIO TENA UJANJA na atakayeibuka kama MJANJA atatokea kwa wapendwa wadhalilishwao a.k.a WADHALILIKA.:-(
Swali:- Si inasemekana Rais Obama kama RAIS wa KWANZA kuwa na baba MWEUSI Marekani ni mjanja?
- Si kuna uwezekano Rais Obama kama RAIS ASIYE KUWA WAKWANZA KUWA NA MAMA MWEUPE Marekani bado hilo lilimsaidia UJANJA?
Ila taka usitake MAISHA ya UJANJA ,....
...... ni mafupi ndio maana WAJANJA wa kweli huwa hawakatizii denge SHUGHULI.
Na ukikosea kutafsiri UJANJA,...
.... wajanja MAISHANI mwako wanaweza wakawa wala katika UJANJA hawapatii SHUGHULI.:-(
NDIO,........Misingi na siri ya UJANJA WA MTU ni dhaifu SANA ,.......ndio maana DUNIANI kuna MJANJA mpaka kwa KUNG'ANG'ANIA faraja za NEPI hajastukia BADO duniani kuna jeuri ya chupi PIA!:-(
Swali:- Si inakumbukwa ujulikanao kwa sasa kuwa ni USHAMBA ni uleule ulioonekana UJANJA zamani?
- Unafikiri unajua MISINGI ya tafsiri yako ya Ujanja kwako ni nini na imeegemea wapi?
- Ujanja unafikiri ni nini?
....NA unajua SIRI ya utafsirivyo nani MJANJA,......weye ushatatua moja ya UDHAIFU WAKO!:-(
Swali moja zaidi katokori:- Unafikiri kujua UDHAIFU wako sio kujiponza pia?
NIWAZO tu hili MHESHIMIWA!:-(NA nakutakia kila la kheri uwe na uhakika wa kupata choo leo MKUU!
Hebu tubadili kwa kumdeku Mjasiliamali-
Au tu hebu Chick Corea, Bobby McFerrin na Bela Fleck walete kitu -Spain
Au tu OUTKAST warudie- Rosa Park
Blah blah blah
Fish cakes
Alas a fish cake.
Yet more fish cakes
Guess what ... yeah ... fish cakes.
The end of the fish cakes