SIMON KITURURU- MAWAZONI

  • JEMADARI HAMU!

    Posted: July 20, 2008, 11:12 pm by SIMON KITURURU
    Ukiwa na HAMU!
    Akili yako itajaribu kukutimizia HAJA za HAMU.


    Ukiwa na haja, ni rahisi kufikiria kuwa kuna staili BOMBA za kutimiza HAJA yako kama YAKE.


    Kutimiza haja yako ,inawezekana kuwa ni WEWE PEKEE unaweza kusawazisha kwa sababu UKWELI ni kwamba haja yako unaijua vizuri wewe MWENYEWE.

    Swali:
    • UNAFIKIRI kuna staili nzuri ya kuongelea haja ambayo inadaka yote yaliyo kwenye MIMBA ya HAJA yako?

    SIKU NJEMA!
    ------------------------------------------------------------------------------------------------

    NAKUACHA na JESS MATADOR akija na dawa iitwayo Décalé Gwada

    AU pata picha fulani KADHAA zangu na WADaU kadhAA!















































































    PUMZIKA na NINA SIMONE kiduchu akija na dawa iitwayo FOUR WOMEN


















































    SAMAHANI!

    FilmLOOP inanizingua kiduchu, KWAHIYO inawezekana ikawa nimeweka picha NYINGI kadhaa wa kadhaa na HEADMASTER huwa anafikiria kuwa SI mchezo MZURI kuweka PICHA ambazo labda haziFUNDISHI KIPENYO ni sawasawa na nini katika TUNDU.


    :-(

    Lakini nitajaribu KUSAWAZISHA!

    Ziruke tu PICHA kama zinaKUZINGUA!


    HALAFU ni KWELI .....


    MARY J BLIGE, SHAGGY , DJ CLIFF na.....
    ......wamenisaidia sana kupitiliza, kama UONAVYO kwenye PICHA......
    :-(



    Mpate SHAGGY aendeleze DAWA iitwayo BONAFIDE MSICHANA

Blah blah blah

Fish cakes

Alas a fish cake.

Yet more fish cakes

Guess what ... yeah ... fish cakes.

The end of the fish cakes


Kenyan Blogs