SIMON KITURURU- MAWAZONI

  • Labda UNANIPENDA au UNAMPENDA kama KONDOMU!

    Posted: July 5, 2008, 11:46 am by SIMON KITURURU
    Pamoja na uzuri wa KONDOMU , ikitumika hutupwa!:-(

    SAMAHANI !
    Ngojea nikusalimie kwa sauti!



    KONDOMU kiboko!

    Ikishabeba ujauzito, hutupwa!
    Inawezekana kuwa marafiki wengi uwaitao MARAFIKI ni kwasababu UNAWAITA marafiki na wanakupenda kama chakula kabla hujakistukia KIMECHACHA.

    CHAKULA kilicho chacha kina harufu fulani ambayo unaweza usiistukie mpaka UONJE:

    Labda RAFIKI yako mpenzi umuitaye RAFIKI mpenzi ni kwa sababu unaamini ni RAFIKI mpenzi.

    LABDA...

    ...RAFIKI wa kweli ni yule umuitaye ADUI YAKO ambaye anakusaidia KUSTUKIA unacheza na moto wakati unacheza na MOTO:

    DUH!

    NAACHA TOPIKI HII!

    ENDELEZA lakini PENZI na YULE , yeye au RAFIKI kwa furaha hata kama UTATAFUTA jalala kutupa mafanikio yatokanayo na kufanikisha ambayo hayakusitishi kutupa KONDOMU uisifiayo !:-(
    --------------------------------------------------------------------------------------------------
    Mpate tu RAY C akupe dawa iitwayo SOGEA SOGEA


    AU pata baadhi ya PICHA zangu na baadhi ya WADAU ambao hawakunitenga maeneo fulani.






































    AU wapate tu
    Professor Jay & MwanaFalsaFA katika dawa iitwayo JUKUMU LETU



    Msikilize tu MIRIAM MAKEBA akikupa dawa iitwayo MBUBE

Blah blah blah

Fish cakes

Alas a fish cake.

Yet more fish cakes

Guess what ... yeah ... fish cakes.

The end of the fish cakes


Kenyan Blogs