SIMON KITURURU- MAWAZONI

  • USHAWAHI KUIANGALIA MAITI YA MBU?

    Posted: March 25, 2008, 10:17 am by SIMON KITURURU
    Mbu hulalamikiwa wote!
    Lakini si mbu wote wahitajio damu yako.


    Staili za kumuua mbu ziko kibao.
    Unaweza ukambinya.
    AU?
    Mbu aliyeuawa , maiti yake haiangaliwi sana.
    Mara kwa mara baada ya kumuuambu, unasahau kuwa umeua, labda mpaka upate malaria ndio unajaribu kukumbuka baadhi ya maiti fulani za matunda.
    SWALI:
    • Unanielewa?
    DUH!
    Usitishike!
    ENDELEZA LIBENEKE!
    Mpate lakini NASIBU MWANUKUZI aka RAS NAS akiwa na Ali Jabang na Aliou Cissokho wakiwa na MANDINGO TRIO

Blah blah blah

Fish cakes

Alas a fish cake.

Yet more fish cakes

Guess what ... yeah ... fish cakes.

The end of the fish cakes


Kenyan Blogs