SIMON KITURURU- MAWAZONI

  • JAMBO LISILOKUHUSU likikutia NYEGE!:-(

    Posted: August 29, 2010, 7:25 pm by SIMON KITURURU

    Ndio ,.........mara nyingi kimtiacho nyege mtu ni ambacho sio chake,...


    .......na INGAWA hata kama KINUNIA SHUGHULI  kina upele wenye usaha,...



    ....LABDA mwenye nyege KINUNACHO na KIKENUACHO  kikitekenywa  HATA KABLA YA SHUGHULI bado katika kupandisha JAZBA ya  hamu ya utamu  ya MHESHIMIWA KINUKA MKOJO ,....

    ....hicho KIDUDE  hata kama hakita kata makali  baada ya kuonja AU KUONJWA labda bado MHESHIMIWA mwenye nyege kama kina mgusa ANGALAU  MAWAZONI ,....
    ....labda hicho  KINAMHUSU.:-(




    Swali:
    • Unafikiri UNAUHAKIKA  kuna jambo lisilo KUHUSU ?

    NI WAZO TU HILI Mheshimiwa BI Mkora!:-(
    Hebu katika kubadili ndude tumsikilize mtoto wa NYERERE ambaye kwa jina ni ROSE -MARY NYERERE akijitetea kisomi....... na SAMAHANI kiswahili chake kinahitaji Kingereza katika baadhi ya pointi:-(




    Au tu Kanda Bongo Man achokonoe kidude kwa -Cantique



    Au tu Kanda Bongo Man arudishe mdinyo ajulikanao nao afrika kwa ndude-Wallow



    Au tu Kanda Bongo Man aendelee kushusha uji mzito katika.......


Blah blah blah

Fish cakes

Alas a fish cake.

Yet more fish cakes

Guess what ... yeah ... fish cakes.

The end of the fish cakes


Kenyan Blogs